Zuberi Cup Logo

Karibu Mchuano wa Zuberi Cup 2025

Mchuano mkuu unaoleta timu bora zaidi za Kilimanjaro

Angalia Mechi za Leo

📰 Habari za Mchuano

September 26, 2025
Afro Boys FC achukua Ubingwa wa Mashindano ya Zuberi Cup 2025.

Timu ya Afro Boys FC yatinga fainali na kuchukua ubingwa dhidi ya Pasua Big Stars kwenye msimu wa Tano wa Zuberi Cup Tournament

September 26, 2025
Mgeni Rasmi wa Fainali ya Zuberi Cup 2025 Bi.Mwajuma Nasombe.

Bi Mwajuma Nasimbe amefika uwanjani kushuhudia fainali ya mashindano haya ya Zuberi Cup kwenye huu msimu wa Tano.

September 25, 2025
Msaranga FC ashika nafasi ya Yatu kwenye msimu wa Tano wa Mashindano ya Zuberi Cup 2025.

Msaranga FC ameshika nafasi ya Mshindi wa Tatu baada ya Kuwacharaza Kili Wonders FC kwa Bao mbili kwa Mtungi.

📸 Picha za Mchuano

Matukio ya Hivi Karibuni

Vipindi Maalum

Uwanja wa Railway

Uwanja wa Railway - Makao Makuu ya Mchuano

Uwanja wa Railway ndio uwanja mkuu unaotumika kwa mechi za muhimu za Zuberi Cup. Uwanja huu una uwezo wa kuwashika watu 1000 na umekarabatiwa hivi karibuni ili kuwa na viwango vya kimataifa. Uwanja huu ni wa khistoria na umeshashuhudia mechi nyingi za kumbukumbu.

Wadhamini wa Mchuano

Wadhamini Wakuu wa Mashindano ya Zuberi Cup

Mabango yaliyopo kwenye uwanja mkuu wa mashindano ya Zuberi Cup yanayomuonyesha Mhe. Dkt. Samia Suluhu akiwa na Meya wa Manispaa ya Moshi Zuberi Kidumo. Meya ni mpenda michezo na mdhamini mkuu wa mchuano wa Zuberi Cup ambao unalenga kuendeleza talanta za vijana.

Zuberi Cup 2025
Nature
Wadhamini wa Mchuano
Wadhamini wa Mchuano.
Beach
Washindi wa Zuberi Cup 2024
Washindi wa Zuberi Cup 2024
Forest
Waamuzi wa michuano ya Zuberi Cup
Uwanja wa Mkuu wa Mchuano wa Zuberi Cup
City
Kombe La Mchuano.
Meya Eng. Zuberi Kidumo akiwa amelishikilia kombe pamoja na Emmanueli Wamilazo
Desert
Moja ya Matukio bora kabisa yaliyonaswa na camera zetu hapa kwenye uwanja wa Railway.
Umahiri wa kucheza na boli ukionyeshwa na moja ya wachezaji
Forest
Daktari toka Ujerumani akitoka uwanjani baada ya kufanya Matibabu kwa mchezaji
Uwanja wa Mkuu wa Mchuano wa Zuberi Cup
City
Mstahiki Meya Zuberi Abdallah Kidumo Mdhaminini Mkuu wa Mashindano ya Zuberi Cup..
Mstahiki Meya Eng. Zuberi Kidumo .
Desert
Mashabikk wakipata burudani toka kwa wahamasishaji