Mechi za Hivi Karibuni

Familia FC vs Msobibo SC
Juni 15, 2025 - 3:00 PM
Machava FC vs Kiboriloni SC
Juni 16, 2025 - 5:30 PM
Mabogini FC vs Pasua SC
Juni 17, 2025 - 2:00 PM

🏆 Jedwali la Ushindi

Nafasi Timu Mechi Alama
1 Eagle SC 8 21
2 Lafamilia SC 8 19
3 Mabogini FC 7 15
4 Pasua SC 7 12

📰 Habari za Mchuano

Juni 12, 2025
Meya wa Manispaa ya Moshi Mjini Mhe. Zuberi Kidumo azindua Rasmi Zuberi Cup Draft

Meya wa Manispaa ya Moshi azindua Zuberi Cup Draft Tournament. Mashindano yenye mpango wa kuwakutanisha wanaMoshi pamoja na kuwachangamsha pia Mhe. Meya Zuberi Kidumo ametangaza zawadi nono kwa washindi wa Zuberi Cup Draft Tournament. Mashindano haya yanafanyika hapa kwenye stendi ya Vumbi, Moshi Mjini kila siku kuanzia saa 11.

Eagle SC Waongoza Jedwali Baada ya Ushindi Mkuu

Eagle SC wamejiweka katika nafasi ya kwanza ya jedwali baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mabogini SC. Mchezo uliochezwa uwanjani Railway Stadium umewaongoza hatua moja zaidi kwenye mchuano wa Zuberi Cup.

Juni 10, 2025
La Familia SC Wapata Mchezaji Mpya kutoka Ligi Kuu

La Familia SC wametangaza kumsajili mchezaji mpya wa kimataifa kutoka Ligi kuu. Mchezaji huyu atakuwa mshambuliaji mkuu wa timu katika mechi za msimu huu wa Zuberi Cup.