⚽ Mechi za Hivi Karibuni
🏆 Jedwali la Ushindi
Nafasi | Timu | Mechi | Alama |
---|---|---|---|
1 | Eagle SC | 8 | 21 |
2 | Lafamilia SC | 8 | 19 |
3 | Mabogini FC | 7 | 15 |
4 | Pasua SC | 7 | 12 |
📰 Habari za Mchuano
Meya wa Manispaa ya Moshi azindua Zuberi Cup Draft Tournament. Mashindano yenye mpango wa kuwakutanisha wanaMoshi pamoja na kuwachangamsha pia Mhe. Meya Zuberi Kidumo ametangaza zawadi nono kwa washindi wa Zuberi Cup Draft Tournament. Mashindano haya yanafanyika hapa kwenye stendi ya Vumbi, Moshi Mjini kila siku kuanzia saa 11.
Eagle SC wamejiweka katika nafasi ya kwanza ya jedwali baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mabogini SC. Mchezo uliochezwa uwanjani Railway Stadium umewaongoza hatua moja zaidi kwenye mchuano wa Zuberi Cup.
La Familia SC wametangaza kumsajili mchezaji mpya wa kimataifa kutoka Ligi kuu. Mchezaji huyu atakuwa mshambuliaji mkuu wa timu katika mechi za msimu huu wa Zuberi Cup.